12.05.2015

kadesha na matukio

kadesha na matukio

James ze navigator

kadesha na matukio

kadesha na matukio

James ze navigator

Breaking newz  ajali ya daladala yaua mmoja mkoani iringa 

Ni ajal iliyotokea Jana Usiku mda Wa saa moja jioni hivi daladala hiyo ilikua ikitokea mjini kuelekea tumaini chuoni ambapo chanzo cha habar kinasemekana gar hiyo ilifeli break na kupinduka kwa ubavu Inasemekana. Ndani ya daladala hiyo kulikua na abiria wawili dereva na konda ...inasemekana abiria mmoja alifariki papohapo na mmoja alinusulika na kwa sasa yupo hospitalini kwa matibabu mashuhuda Wa ajal wanasemaje  dereva na konda walikimbia baada ya ajal kutokea..pia inasemekana aliefariki kua ni mwanafunzi chuo cha iringa mwaka wa pili degree anajulikana kwa jina la neema traatibu za mazishi zinafanyika chuonitraatibu za mazishi zinafanyika chuo kikuu iringa na marehemu ataagwa Leo saa kumi jioni hapo chuoni




Picha na james ze navigator

12.03.2015

MUONEKANO WA IRINGA MJINI

 james ze navigator the blogger boy
karibuni iringa mjini
 angalia picha za mij  wa iringa kwa kutumia picha zenye ubora wa hali ya juu na kwa ukubwa pia picha hizi zikionesha iringa mjini namaeneo mengne yanayo patikana iringa mjini








hapa ni mtaa wa kiheasa na huu ni mlima kiheesa

James ze navigator the blogger boi follow me on facebook

James ze navigator

12.01.2015

muonekano tofauti wa mji wa iringa

Mji huu umezungukwa na milima na hivyo inasababisha kuwa na Hali ya hewa tofauti na miji mingine kama mwanza singida dodoma  daresalam na kadhalika ..wakazi wanaopatikana katika mji huu wengi wao ni wahehe pia wabena  ...karibuni IRINGA.








By james ze navigator 

muonekano


muonekano tofauti tofauti wa mji wa iringa


vyuo bora tanzania


VYUO VIKUU VINAVYOONGOZA KWA UTOAJI WA ELIMU BORA TANZANIA(GRADUATES)  by james ze navigator 




Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa wawapo kazini,Pia  zimetajwa kozi zenye mafanikio chuoni hapo ,Ni pamoja na SHERIA, na Education.


Chuo cha pili kwa ubora wa elimu na chenye kutoa graduate wazuri ni chuo kikuu cha SUA kilichopo mkoani morogoro,pia utafiti umeonyesha kuwa chuo hicho 93% ya kozi zake zimekuwa na soko sana kwenye ajiya baadhi ya kozi zilizoorodheswa ni,Bachelor of veternary medicine(BVM),Bsc.AGRONOMY,Bsc.Irrigation engineering,Bsc.Food science and Technology,Bsc.Agriculture general,Bsc.Animal science.

  Vyuo vingine ni kama vinavyoonekana hapo chini
 1  University of Dar es Salaam . (UD)

 2  Sokoine University of Agriculture (SUA)

 3  Muhimbili University of Health and Allied Sciences (Muhas)


 4  The Hubert Kairuki Memorial University

 5  St. Augustine University of Tanzania (saut)

 6  Tumaini University

 7  The University of Dodoma

 8  Ardhi University

 9  St. John's University of Tanzania

 10  Teofilo Kisanji University

 11  The State University of Zanzibar

 12  Mount Meru University

 13  Mzumbe University

 14  Zanzibar University

 15  The University of Arusha

 16  Muslim University of Morogoro

 17  International Medical and Technological University

5th Slot loan allocation

MAJINA YA WALIOKOSEA KUOMBA VYUO

chuo kikuu cha iringa ...

Hiii ni screeen shot ambayo inaonesha muonekano Wa Wa juuuu au satellite unaonesha mpangilio Wa chuo Kikuyu cha a iringa ikonesha lecture halls hostel office na kadhalika
Karibun iringa karibuni chuo kikuu Chas iringa kwa maelezo zaid body a WWW.uoi.ac.go.com

magufuli azidi kua kwenye headline

Ni pale ambapo alipokutana na profesa lipumba ikulu na lipumba ndipo alimsfia kwa ushindi alioupata octoba   maelezo zaidi Kwene picha**********
By james ze navigator ...the blogger boi

MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SEKONDARI KIDATO CHA TANO

UPDATES:HIZI HAPA JOINING INSTRUCTIONS ZOTE ZA FORM V/KIDATO CHA TANO(5) 2017/2018   MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SEKONDARI...