12.08.2015

Mwezi mmoja wa uongozi wa Magufuli Tanzania

 

7 Disemba 2015 Imebadilishwa mwisho saa 16:18 GMT
Ni siku thelathini tu tangu rais mpya wa Tanzania John Pombe Magufuli aingie madarakani, lakini kasi ya utendaji wake umeibua hisia mbalimbali nchini humo, nchi za jirani na hata zingine za mbali barani Afrika.
Kuanzia kuwasimamisha kazi maofisa waandamizi wa serikali na mashirika ya umma hadi kufuta kwa sherehe za maadhimisho kadhaa utendaji wake umetia shauku ya watu kutaka kujua uongozi wake utaleta chachu gani nchini Tanzania.
Mwandishi wa BBC Sammy Awami amedodosa hilo zaidi.
kwa habar zaidi bofya
http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2015/12/151207_30_days_magufuli_presidency

No comments:

MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SEKONDARI KIDATO CHA TANO

UPDATES:HIZI HAPA JOINING INSTRUCTIONS ZOTE ZA FORM V/KIDATO CHA TANO(5) 2017/2018   MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SEKONDARI...